




TSh 28,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 days ago
Temboni

Haven Real Estate
Verified documentsNyumba nzuri sana inauzwa bado mpyaa inauzwa kimara temboni bei: milioni: 28 maongezi kidogo yapo. ___________________ nyumba hii ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo ni master bedroom sebule safi public toilet jiko safi ukubwa wa eneo sqm 300 _______________ umbali wake kutokea morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 3.5 nyumba hii mpya ipo karibu saana na barabara ya mtaa inayoelekea kinyerezi. na pia, nyumba hii inahitaji kufanyiwa umaliziaji mdogo saana ili uweze kuhamia, kuweka tiles, kuingiza umeme na maji, kujengea hizo sink za vyoo pamoja na rangi ukipenda... karibu sana mad
TSh 28,000,000
Safety tips
Similar properties