




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara ya mbezi kwa msuguri

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa ni lami tupu hadi kwenye nyumba apartment hii inasifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala na vyumba vyote ni master bedroom #sebule #jiko kubwa lenye makabati #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #maji yanatoka ndani masaa 24 #parking kubwa #garden !! inapangishwa ni ya chini bei ni 350k x 6 ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu au unaweza kupanda usafiri wa bajaji sh 500 #kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia pesa ya udalali shilingi laki 3 na elfu 50
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties