




TSh 80,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kibamba , 2 years ago
Kibaha maili moja

Peter D
Verified documentsBoss kalewa kweli kweli maana sio kwa kitonga hiki, Nyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo. Nyumba ipo mtaa mzuri na usalama wa kutosha na kutoka barabara ya lami mpaka hapo ni km1.5 boda boda ni 1000 (buku). Karibu sana pia MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 80,000,000
Safety tips
Similar properties