




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Korogwe

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba, sebule, jiko (open kitchen) na choo ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na ipo ndani ya fence inayoingiza gari. Nyumba ipo karibu na barabara ya lami na barabara yake ni mkeka mpaka kwenye nyumba.
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties