




TSh 110,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 1 year ago
Mbagala chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa inauzwa! bei: milioni 110,000,000/= (mazungumzo yapo) sifa muhimu za nyumba: • vyumba 4 vya kulala (3 ni master bedroom) • sebule kubwa yenye muonekano mzuri • jiko la kisasa lenye makabati ya ndani • vyoo 2 vya kisasa (public & master) • maegesho ya magari zaidi ya 4 . imezungushiwa ukuta na ina gate imara . umeme na maji muda wote mahali: maji matitu mbagala, dar es salaam • dakika chache kutoka barabara kuu • mazingira tulivu na salama kwa familia • nyumba ni mpya – haijawahi kutumika • karibu na shule, vituo vya afya, maduka na huduma muhimu.
TSh 110,000,000
Safety tips
Similar properties