




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Baruti

Peter D
Verified documentsNyumba inajitegemea upande wake wenyewe yaani unaingia kwenye geti lako mwenyewe kila kitu ni chako kuanzia umeme na maji na nyumba hii ina chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko na choo. Ipo ndani ya fence yenye parking na umbali wake ni dakika 8 kwa miguu kutoka mwendokasi.
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties