




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Mwisho

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Kuna nyumba 2 ndani ya fence na ya juu ndio ipo wazi, parking ipo ya kutosha , garden nzuri, inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji, barabara ni rafiki kwa usafiri wowote ule mpaka kwenye nyumba na ipo umbali wa kutembea kwa miguu kutoka mwendokasi kama dakika 8
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties