




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 12 days ago
Ukonga

Charles Njoka
Verified documentsNyumba safi nzuri ya kisasa kama unavyoiona hapo kwenye picha inauzwa bei kitonga kabisa
Nyumba ninkubwa ina vyumba 8 na sebure na master na public yake Yani ni NYUMBA ILIYOJITOSHELEZA
Na imezungukwa na huduma zote za kijamii na ipo karibu na stand ya Gari na Ina Barabara kuu ya kutokea stand
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties