




TSh 26,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Kwa msuguri msingwa

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba bado haijakamilika vitu kadhaa vya ndani. Ipo umbali wa km 4 kutoka morogoro road karibu sana usafiri upo mwingi wa kutosha bajaji 500 na pkpk 1000
TSh 26,000,000
Safety tips
Similar properties