




TSh 110,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 2 years ago
Gongo la mboto majohe
Prince Realtor
Verified documentsNyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja zote kwa pamoja zinauzwa mahari ni gongolamboto majoe bei tsh milion 110 ukubwa wa eneo sqm 1400 umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa 1.nyumba ya kwanza ina vyumba 3 vya kulala chumba kimoja master sebule dinning room jiko public toilet 2.nyumba ya pili ina vyumba 5 vya kulala sebule dinning room public toilet kuna jiko la nje na stoo pia kuna fremu mbili za duka na vyumba 2 gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=
TSh 110,000,000
Safety tips
Similar properties