




TSh 1,500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 2 months ago
St. Joseph

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Nnje ina servant quarter yenye chumba na sebule na jiko. Full AC, security cameras, garden nzuri sana. Pia kuna reserve tank 3 na kila moja ni ya lita 3,000, pia nnje kuna kisima kikubwa sana kilichovunwa maji ya mvua. Nyumba hii ipo umbali wa dakika 10 kwa miguu mita 500 kutoka lami, nyumba ina fence eneo lote na parking kubwa sana.
TSh 1,500,000 per month
Safety tips
Similar properties