




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 1 year ago
Nyumba inapangishwa laki 4 Moshibar.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba nzuri Sana ya kisasa, ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi, inapangishwa laki nne Kwa mwezi mmoja malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Moshibar location, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hiyo.
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties