




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kibamba , 2 years ago
Shule
Aisha Rashid
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko la kisasa lenye makabati na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Ipo ndani ya fensi yenye paving blocks. Ina AC sebuleni na chumbani. Umbali km 1 kutoka Morogoro road
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties