




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 9 months ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 250,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala #hakuna master bedroom #sebule kubwa #jiko kubwa lenye makabati #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa bei ni 250,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni matosa mwisho wa bajaji au unaweza ukapitia njia ya kimara mwisho na ukafika hadi kwenye nyumba na njia zote zina usafiri wa kuchangia yaani bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye usafiri wa matosa unatembea dk 3 upo kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties