




TSh 550,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kona

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba cha kulala, sebule, jiko na choo ndani. Nyumba ipo ndani ya fence na inayojitegemea luku yake yenyewe, parking ipo ya kutosha. Pia kuna gym ndani na garden nzuri sana... kutoka barabarani ni dakika 5 kwa mguu karibu sana.
TSh 550,000 per month
Safety tips
Similar properties