




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara suka

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 600,000/= x 6 itakua wazi kuanzia tarehe 15/05/2024 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #aircondition #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea bei ni 600,000/= x 6 apartment nzuri ya kisasa upo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu itakua wazi kuanzia tarehe 15/05/2024 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties