




TSh 85,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
Mbezi maramba

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea yenyewe ndani ya fence na ina umeme na maji vyote vipo. Pia huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi mahali hapo na ipo mtaa mzuri ulio na usalama
TSh 85,000,000
Safety tips
Similar properties