




TSh 1,000,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Korogwe
Aisha Rashid
Verified documentsNi nyumba nzuri na kubwa yenye vyumba 3 vya kulala kimoja master sebule najiko public toilet dining table, jiko lipo la ndani na nje pia,na vyumba vyote vina makabati ya nguo, air condition, garden nzuri yenye sehem ya kupunzika, pia kuna servant cotter, ya chumba master na jiko kubwa la nje karibuni
TSh 1,000,000 per month
Safety tips
Similar properties