




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kibamba , 2 years ago
Maili moja kibaha

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala viwili ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ina uwanja mkubwa wenye parking space yakutosha pamoja na garden nzuri na sehemu ya kufugia mifugo yoyote ile. Nyumba hii bado ni mpya na mmiliki amehamishwa kikazi hivyo anaiuza kwa be chee kabisa karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties