




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Bucha

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na maji na ipo ndani ya fence inayoingiza gari na kwenye compound zipo nyumba 2 tu. Barabara yake ni rafiki mpaka kwenye nyumba kutoka lami na ni dakika 4 kwa miguu kutoka mwendokasi.
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties