




TSh 60,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Tabata , 4 years ago
barakuda
Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba inajitegemea yenyewe ndani ya fence na inajitegemea kila kitu. Ipo karibu na barabara na inafikika kwa urahisi
TSh 60,000,000
Safety tips
Similar properties