




TSh 120,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Suka

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence na ni mita 500 kutoka lami pia njia yake ni rafiki kwa aina zote za magari pia unaweza kutembea kwa miguu kwa mwendo wa dakika 8 tu... karibu sana usiogope bei maongezi yapo
TSh 120,000,000
Safety tips
Similar properties