



TSh 35,000,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Mikocheni , 2 months ago
Mikocheni

Peter D
Verified documentsKiwanja hichi kina ukubwa wa sqm 400, kipo umbali wa km 1.8 kutoka mwendokasi. Kipo sehemu ambayo ni tambarale. Njia ya kufika kwenye kiwanja ni mkeka, usafiri upo wa kumwaga wa bajaji na pikipiki na ukishuka dakika 2 upo site, huduma zote za kijamii zinapatikana, karibu sana ujipatie aridhi bora sana iliyo karibu na mjini kwa makazi au uwekezaji.
TSh 35,000,000 per month
Safety tips
Similar properties