




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
matosa
Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Maji na umeme upo pia huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi. Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na barabara yake ni rafiki kwa gari ya aina yoyote ile pia ipo karibu na stand karibu sana
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties