




TSh 600,000,000 per Plot
Mwavi
Dalali Michael
Verified documentsShamba la ekari 60 linauzwa milioni 450 maongezi yapo lipo mwavi, bagamoyo mkoa wa pwani distance kilometer 2 tu kutoka barabara kubwa bagamoyo road location shamba limeshika barabara ya mwavi kwenda viwandani inayowekwa lami shamba linauzwa na vitu vyote vilivyomo ndani ikiwemo mifugo shamba kuna ekari 1 imezungushiwa fence ambapo kuna mbuzi na kondoo 400 ng'ombe wakubwa 50 ndama 6 wapo wanao kamuliwa kuna ghorofa ina vyumba v4 vya kulala, juu vyumba v2 na chini v2. pia kuna nyumba ya wafanyakazi na mabanda ya mifugoa na mazizi mawili ya ng'ombe ndani ya shamba kuna umeme maji safi dawasco -plot size ekari 60 -document: survey (pamepimwa) bei shilingi milioni 600 maongezi yapo
TSh 600,000,000 per Plot
Safety tips
Similar properties