




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kinondoni , 4 years ago
Kinondoni
Prince Realtor
Verified documentsShamba linauzwa , linapatikana tabata king'azi lina ukubwa wa hekari 6 . lina faa kwa matumizi ya Shule , hospitali, ufugaji wa mifugo, kukata plot na kuuza . kwenda kwenye shamba unaweza pitia tabata kifuru or mbezi malamba mawili. kutoka tabata kifuru hadi kwenye shamba ni km 4 kamili na kutoka mbezi malamba mawili hadi kwenye shamba ni km 5.5
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties