




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 6 hours ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 itakua wazi kuanzia tarehe 19/07/2026 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #garden #parking #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea ulinzi na mtu wa usafi na garden ni bure upo masaa 24 bei ni 400,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 50o na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 upo kwenye nyumba njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties