




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 years ago
Nyumba inapangishwa laki mbili Kwa mwezi 1 Ukonga Kwa Fundi.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba viwili sebule dining jiko stoo master pablic inapangishwa laki mbili Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali,inapatikana Ukonga kwa fundi. Huduma zote za kijamii zipo karibu.
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties