




TSh 60,000,000
Bagamoyo kitopeni
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa inauzwa milioni 60 maongezi yapo ipo *bagamoyo mjini* (kitopeni street) - dar es salaam - tanzania ina vyumba vitatu vya kulala ◇master bedroom sitting room dining room ◇ kitchen ◇store public toilet ◇ nyumba ina servant cotta ◇ nyumba ina mpangaji kodi ni laki 370 kwa mwezi (nyumba kubwa laki 250 servant cotta laki 120) jumla ni tsh 370 kwa mwezi. ukubwa wa kiwanja: sqmt 500 ◇document clean title deed ( hati miliki kutoka wizara ya aridhi) ◇maji safi dawasco umeme vyote vipo ndani ya nyumba ◇umbali 150 tu kutoka bara ya ya lami ya bagamoyo two dar es salaam au stendi ◇noted: ukishuka kwenye gari unatembea tu kwa mguu kwenda nyumbani.
TSh 60,000,000
Safety tips
Similar properties