




TSh 55,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Chamazi , 2 years ago
Dovya chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri sana ipo mbagala chamaz dovya a mtaa wa kisiwani jiji la dar esalam wilaya ya temeke nyumba nzuri sana ina uzwa tsh million (55) tu ukubwa wa eneo square miter (732) kume pimwa upimaji shilikishi kuna documents ya mauziano ya office ya sirikali ya mtaa vyumba vitatu vya kulala vyumba vyote ni masters bedroom ina sitting room na daining room na jiko pamoja na store inakisima cha maji na umeme upo kutoka barabara kuu ya lami kuja kwenye hii nyumba ni dakika (10) kwa mwendo wa miguu
TSh 55,000,000
Safety tips
Similar properties