




TSh 800,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Kimara mwisho

Peter D
Verified documentsNyumba inajitegemea yenyewe ndani ya fence na ina vyumba 5 vya kulala vyote vina choo ndani (masters), sebule, dinning, jiko, parking kubwa, servant quarter na maji ya dawasa. Nyumba hii unaweza kuifanya godown, kanisa, Ofisi, massage nakadhalika. Ipo umbali wa kutembea kwa miguu kutoka morogoro road karibu sana
TSh 800,000
Safety tips
Similar properties