




TSh 50,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Kimara suka
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa ipo kimara suca bei tsh milioni 50 maongezi yapo ukubwa wa eneo sqm 350 umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa na eneo limepimwa (ulasimishaji na mawe yapo tayari) vyumba 3 kulala chumba kimoja master sebule kubwa jiko choo cha public ipo ndani ya fensi maji yapo umeme upo pia kuna boy quarter ya chumba master gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=
TSh 50,000,000
Safety tips
Similar properties