




TSh 190,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kinondoni , 3 years ago
kibada
Prince Realtor
Verified documentsHii nyumba kalli sana ni nyumba ya kisasa kabisa ina uzwa tsh mil 190 tu ipo king kibada meter 300 tu kutoka bara bara kuu ya rami eneo square meter 800 ina hatty miliki title did njoo uone tumalize biashara faster mdau wangu nyumba kalli sana ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme eneo zuri sana hii nyumba ime kamilika yote ina kila kitu njoo ukiwa sirious uwezi kuiyacha kabisa mdau wangu wai chap chap kwa araka sana
TSh 190,000,000
Safety tips
Similar properties