




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Msakuzi

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba imeshapimwa na ina bicon zake. Ipo mtaa mzuri wenye utulivu na usalama. Huduma zote zinapatikana kwa urahisi karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties