




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Nyumba ya vyumba 3 inapangishwa laki mbili Ukonga Mkolemba.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko master pablic mbili ndani ya fensi inapangishwa laki mbili Kwa mwezi mmoja malipo miezi sita au mitatu, na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Moshibar Kwa Mkolemba, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/ mjumbe.
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties