




TSh 48,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
mbagala chamaz
Prince Realtor
Verified documentsHii nyumba kalli sana ipo mbagala chamanz ina uzwa tsh mil 48 tu nyumba ni nzuri sana kubwa ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme eneo square meter 400 ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa njoo uone tumalize biashara faster mdau wangu nyumba kalli sana kutoka bara bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 6 tu kwa mwendo wa miguu ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp
TSh 48,000,000
Safety tips
Similar properties