




TSh 67,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Suka
Aisha Rashid
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba ina boy quarter ya chumba, choo na jiko ndani. Nyumba ipo mtaa mzuri na huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi, na inafikika kwa aina yoyote ya usafiri. Ipo umbali wa km2.5 kutoka Morogoro road. Karibu sana MAONGEZI YAPO.
TSh 67,000,000
Safety tips
Similar properties