




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba kubwa ya kifamilia inapangishwa ipo kimara temboni umbali kutoka morogoro road ni dk. 15// kwa mguu bajaji 700// ___________ sifa za nyumba ___________ vyumba vitatu kimojawapo ni masta sebule kubwa sana daining jiko stoo na choo cha pablic inajitegemea umeme na maji dawasa ______________________ kodi 400,000/= x6 kuona nyumba 15000/= dalali 400,000/= pindi ulipiapo nyumba ______________ nyumba ipo mtaa wa kishua mazingira tulivu pembeni kuna chumba na sebule mnashea fensi
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties