




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 1 year ago
Apartment inapangishwa laki 250 Ubungo River Side.

ROMENI JOHN
Verified documentsApartment ya chumba self sebule na jiko inapangishwa laki mbili na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali ipo Ubungo River Side, dakika 5 kutoka barabara kuu, huduma zote za kijamii zipo karibu na apartment hii/ Dalali Ubungo, Sinza na Kinondoni.
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties