




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 500,000/= x 6 nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #dinning #jiko #store #public toilet #air-condition #parking #maji dawasa yanatoka ndani masaa 24 bei ni 500,000/= x 6 nyumba hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 2 tuu upo kwenye nyumba na njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties