




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
korogwe

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba, sebule, jiko la kisasa na choo ndani. Ina makabati chumbani, sebleni na jikoni. Ina security cameras, AC chumbani na sebleni na ipo ndani ya fence inayoingiza gari mtaa wa kishua wenye usalama wa kutosha na lami inafika mpaka getini. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji yake.
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties