




TSh 98,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
mbagala chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri sana ipo mbagala saku ilulu ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme eneo square meter 800 Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi Usha fanyika Bado hatty miliki tu Nyumba ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya Rami kama dakika 5 tu kwa mwendo wa minguu Eneo zuri sana nyumba ime Kamilika yote Ina Kila kitu Ina uzwa tsh mil 98 TU Ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa nyumba safi sana Ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek Whatsapp
TSh 98,000,000
Safety tips
Similar properties