




TSh 900,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Mbezi kwa msuguri

Dalali Selebobo
Verified documentsBangaloo kubwa zuri lenye hati mmiliki linauzwa milioni 900 maongezi yapo nyumba hii kubwa la kisasa lina sifa zifuatazo # vyumba 6 vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #dinning #jiko kubwa la kisasa #public toilet zipo mbili yaani juu gorafani na chini pia #store zipo 2 #makabati ya nguo vyumbani nyumba hii ina hati miliki ukubwa wa eneo ni:- square meter 1000 bei ya kuuzwa nyumba hii ni shilingi milioni 900 ila maongezi yapo nyumba hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh elfu 1 tuu hadi kwenye nyumba nyumba hii kwa sasa inampangaji ndani analipa kodi shilingi laki 8 (800,000/= tsh) kwa mwezi kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 30
TSh 900,000,000
Safety tips
Similar properties