




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Ubungo makoka

Dalali Selebobo
Verified documentsNafaulisha moja apa mteja wangu ameamishwa kikazi ila anatakiwa mtu wa kuingia tar 01/03/2024 kuja kuiona ndan na kulipia au kuzuia na chochote ni ruksa kabisa = kodi ni 300,000 kwa mwezi malipo ni miezi sita = ni izi za kulia moja ndo naifaulisha = location: ubungo makoka kutokea ubungo km 2 kutoka ubungo exsteno au kutokea kimara korogwe kote unafika nyumban usafiri upo wa uakika bajaji 500 na daladala zipo zinazotoka mjin mnazi mmoja kupitia kwa mkua = sifa zake # ni chumba kikubwa sebule kubwa jiko zuri kubwa lenye makabati na choo ndan public = zipo apartment 5 apa na kila moja inajitegemea umeme luku yake na maji yapo dawasa masaa 24 yanaflow ndan na reserve tank lipo la lita elifu 5 =
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties