




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara butcher

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia leo jioni ya tarehe 02/09/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa kizuri #sebule kubwa #jiko kubwa zuri open kitchen #choo kizuri cha ndani kwa ndani(public toilet) #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking bei ni 250k x 3 ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 3 na kuendelea apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu ndugu mteja njoo ukae nyumba nzuri na jirani na barabara na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties