




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Mbezi kwa msuguri

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia tarehe 25/03/2024 kuona na kufanya malipo ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala #sebule ya wastani !!hakuna master bedroom #jiko kubwa #choo kizuri cha ndani kwa ndani (public toilet) #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking kubwa bei ni 300k x 6 ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bodaboda apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 25/03/2024 kuona na kufanya malipo ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties