




TSh 580,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 5 months ago
Kimara Bucha

Dalali Selebobo
Verified documentsImebakia moja tuu!! bei ni 580,000/= x 6 sifa zake ni #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea ulinzi upo masaa 24,,kijana wa garden,,mtu wa usafi na mazingira vyote hivyo ni bure bei ni 580,000/= x 6 bila kusahau pesa ya tahadhari shilingi laki tatu tuu (300,000/= ) apartment hizi zipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 8 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 580,000 per month
Safety tips
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties