




TSh 90,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Tabata kinyerezi
Prince Realtor
Verified documentsUnder ground juu na chini) inauzwa milioni 90 (tabata kinyerezi) punguzo punguzo hii ni ofa kubwa ndugu mteja inauzwa nyumba hii milioni 90 (90,000,000/= ) nyumba nzuri kubwa ya(under ground )familia inauzwa ni nyumba ya kuhamia tuu na ipo sehemu nzuri sana bei mseleleko kabisa (90,000,000/= tsh) million 90 na gari linafika hadi mlangoni nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa #maji dawasa yapo ya kutosha #parking #ipo ndani ya fensi #nyumba ya kuhamia tuu na kuongezea urembo wako binafsi pia kuna chumba master na sebule na jiko chini nyumba hii kubwa sana tena sana bei ni 90,000,000/= tsh ukubwa wa eneo ni 20/15 meters documents:- hati safi ya mauziano halali kutoka serikali ya mtaa
TSh 90,000,000
Safety tips
Similar properties