




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 months ago
Kimara Temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri na ipo jirani na barabara inapangishwa bei ni 400,000/= x 6 ipo wazi tayari na mafundi wapo kazini wanaendelea na ukarabati apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking kubwa bei ni 400,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja namaliza pambano hapa
TSh 400,000 per month
Safety tips
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties