




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimaea korogwe

Dalali Selebobo
Verified documentsNi apartment nzuri sana ya kupanga ipo kimara korogwe = kodi ni 250,000 kwa mwezi malipo ni miezi sita sifa zake # ni chumba master kikubwa sebule kubwa na jiko zuri kubwa lenye makabati ya kisasa ina tiles gypsum aluminum safi kama unavyoona mwenyewe apo zipo apartment 5 kwenye fens na kila moja inajitegemea umeme luku yake na maji yake dawasa yanaflow ndani choon na jikon parking space ipo kubwa perving block safi mazingira mazuri sana umbali km 2 kutota kituo cha mwendokas kimara korogwe usafiri upo wa uakika bajaji taxs 500 na ukishuka kwenye bajaji dk 4 upo nyumban brbr ni rafiki kwa gari za aina yoyote pia hata ukitokea ubungo exsteno unafika nyumban servichaj elifu 15
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties